Hi guy's na2mai mko pouwah! Eebana natafuta galflend wakubadilishana nae mawazo.

Hi guy's na2mai mko pouwah! Eebana natafuta galflend wakubadilishana nae mawazo.

TOTS SHALO

Senior Member
Joined
Sep 24, 2012
Posts
152
Reaction score
25
Hi nihistolia yangu kwa ufupi natafuta gal wakuchat nae nakubadilishana nae mawazo kwa yeyote alie tayali anaweza kuni in box. Haijalish umli wala rang kikubwa jiheshim.
 
Apana mimi co mhaya ila ni toto lakiha.
Bahati mbaya humu sio mahali pa watoto, rudi facebook na lugha zako. Badala ya kujiandaa ku.reseat mtihani bado tu unaingia mitandaoni?
 
Hizi gia mnazokuja nazo,mnazunguukaaa!! Halafu Kiswahili sasa duuh.. Hivi huwa hata hamsomi vitabu na magazeti mkajua kuandika kwa ufasaha?
 
Back
Top Bottom