heartbeats
JF-Expert Member
- Feb 10, 2014
- 6,736
- 10,669
Dooh pole yake.. Hizi cookies za bangi I thought effects zake zinawear out kama bangi kawaida. Kama alitumia mara moja kwa nini effects zinaendelea. Au anaendelea kuzila mkuu.. Au maybe ana allergy na content/contents za mmeaWakuu Ramadhan Makbour
Ni suala lililotokea mwezi wa kumi na moja huyu mdada alipewa kashata anavyodai zilikuwa ni za bhangi mmea,
Alipewa na mtu hajui uyo mtu alikuwa na nia gani nae ila baada ya kula alianza kupagawa na kuwehuka kama alienzwa na kichaa
Sasa anadai hadi leo anahali ya kujihisi kizunguzungu, kichwa kuumwa kisogoni, sometimes anjihis kichwa chepesi
Mwili kukosa balance ivo kwa muda wote hadi leo, sasa je tatizo litakuwa ni alosto imegandia?
Je anapata msaada gani kuondokana na iyo hali amshatumia dawa nyingi tu hali ipo vile vile
AlikulA mara moja tu akawa kma mwehu adi wakamshika sasa sijui imenasiaDooh pole yake.. Hizi cookies za bangi I thought effects zake zinawear out kama bangi kawaida. Kama alitumia mara moja kwa nini effects zinaendelea. Au anaendelea kuzila mkuu.. Au maybe ana allergy na content/contents za mmea
Oogh... Aise apelekwe hospitalAlikulA mara moja tu akawa kma mwehu adi wakamshika sasa sijui imenasia
Itabid akawaone sober houseOogh... Aise apelekwe hospital
Huyo alimixiwa na makushabu,ganja haiwagi ya kisoro hivyo.Dooh pole yake.. Hizi cookies za bangi I thought effects zake zinawear out kama bangi kawaida. Kama alitumia mara moja kwa nini effects zinaendelea. Au anaendelea kuzila mkuu.. Au maybe ana allergy na content/contents za mmea
Probably, hata mie imenifikirisha mkuuHuyo alimixiwa na makushabu,ganja haiwagi ya kisoro hivyo.
Hivi hizi kashata bongo zipo?? Najua zaidi Zzinapatikana NairobiHuyo alimixiwa na makushabu,ganja haiwagi ya kisoro hivyo.
Niunganishie nimpe dawa pafu 2 tuu anaponaWakuu Ramadhan Makbour
Ni suala lililotokea mwezi wa kumi na moja huyu mdada alipewa kashata anavyodai zilikuwa ni za bhangi mmea,
Alipewa na mtu hajui uyo mtu alikuwa na nia gani nae ila baada ya kula alianza kupagawa na kuwehuka kama alienzwa na kichaa
Sasa anadai hadi leo anahali ya kujihisi kizunguzungu, kichwa kuumwa kisogoni, sometimes anjihis kichwa chepesi
Mwili kukosa balance ivo kwa muda wote hadi leo, sasa je tatizo litakuwa ni alosto imegandia?
Je anapata msaada gani kuondokana na iyo hali amshatumia dawa nyingi tu hali ipo vile vile
Wewe umejuaje mkuu ushatumia? Hadi nimecheka sana ๐คฃProbably, hata mie imenifikirisha mkuu
Hahahaha.Wewe umejuaje mkuu ushatumia? Hadi nimecheka sana [emoji1787]
Nmewaza mbali sana kwa comment zako ๐๐Hahahaha.
Lol.. Nimecheka kwa sauti
Sasa umestabilize ukizikula?? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] edibles ni story ingine.. i remember first time nazikula, sio poa.
Anyway, apewe water therapy like a month plus deep meditation. Bongo kungekua na psylocibbin mushrooms i would advice a trip to clear the mind
Kwa nini mkuu???Nmewaza mbali sana kwa comment zako [emoji1][emoji1]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu bwana... Nimecheka mno.. Umewaza nini?Nmewaza mbali sana kwa comment zako [emoji1][emoji1]
Basi tu we acha tu nicheke๐Kwa nini mkuu???
Nmewaza labda una experience ya haya mambo ๐๐[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu bwana... Nimecheka mno.. Umewaza nini?
Hahahaha ha...Basi tu we acha tu nicheke[emoji1]