[emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji16]Tuko bize na uzi wa kula kimasihara,tucheki mida
Usipeperushe ndege mapema[emoji23]Karibu ila humu uwe makini na mabaharia wa 7800
Jamani...
Daaaah, nimeona ila wacha tu nitulie, nimshinde shetani, nisije nikachukiza mtu bure, ila nimeiyelewa hiyo kitu "up" πππ
Karibu nilikupenda kabla hujaja humu honey...Wapenzi nawasalimia! mambo zenu!