Hi ndo sababu africa ina uwezo wa kuchukua kombe la dunia

Hi ndo sababu africa ina uwezo wa kuchukua kombe la dunia

Y prince

Member
Joined
Oct 4, 2019
Posts
27
Reaction score
45
Habari wana JF leo nimeona tujadiliane hili liliotea wiki iliopita baada ya baadhi ya wachezaji wa team ya ARGENTINA kuimba kua 👉(kuna wachezaji wanacheza ufaransa ila wazazi wao na asipi yao ni cameroon, kuna wengine wanacheza ufaransa ila asili yao ni ANGOLA...) 👈 ni baadhi ya maneno yalio sikika kutoka kwa baadhi ya wachezaji wa Argentina

Hicho kitendo kilichukuliwa kama ubaguzi wa rangi ila mm naona kile walichokifanya wachezaji wa ARGENTINA ni kweli kabisa na mm nawasapot kabisa lau awa wachezaji wangekubali kucheza AFRICA uenda AFRICA ingekua na uwezo wa kufika final na kuchukua kombe la dunia au walau kufika final


Tazama morroco iliweza kufika nusu fainal ya kombe la dunia lau ingeongezeka.nguv kidog kutoka kwa wachezaji wao walio amua kucheza nje ya AFRICA basi morroco ingefika final
Africa tuna wachezaji wengi sana wa zuri wanaocheza nje na ukiwaaangalia wengine ni weusi kabisa ata mtoto mdogo akiulizwa atajib uyu ni mwafrica

Ety wana JF kati ya hakimi na saka nani mwafrica ???

Karibuni kwa hoja juu ya mada kadhaa niliozungumza hapo juu

Mali
Ngolo Kante
Osmane dembele

Tanzania
Yusuph

Nigeria
Saka

Congo
Lukaku
Kolo Muani

Kuna wachezaji walistahili kuchukua ballon d or kama vile etoo na drogba lkn walinyimwa kutokana na kua wa AFRICA

Mbappe na vini jr watanyimwa tuzo ya ballon d or kwakua ni asili ya africa oya wana jf ni mengi ya kuongea ila tupunguze maelezo tujadiliane hapa kwanza
 
Mbape aliitaka Cameroooon lkn akapigwa figisu
Hii story tumeisikia upande wa mbappe lakini cameroon hatujasikia utetezi wao, sio sawa kutoa hukumu kwa kusikiliza upande mmoja. Viongozi wa Afrika wana matatizo yao lakini sio sababu ya mtu kuukana uafrika wake mbona wachezaji wa brazil wanaipata kipaumbele timu yao ya taifa bila kujali wamekulia wapi, yule bruno alikua Singida utd anaweza kupata namba taifa staz lakini mfate mwambie abadilishe uraia hawezi kukubali
 
Hakuna ukombozi wowote kwa mtu mweusi popote pale duniani zaidi ya hapa Afrika. Namna pekee ya mtu mweusi kujikomboa uko duniani ni wote kuunganisha nguvu na kurudi kwenye bara lao la asili either kwenye nchi zao au wachukue nchi moja kama wayahudi walivyolandalanda kwenye nchi za watu na kufikia hatua ya kuchinjwa na kufanya watumwa walifanikiwa kujikomboa baada ya kupata ardhi na kuifanya nchi yao. Uko kwenye nchi za watu wataendelea kubaguliwa tu.
 
Habari wana JF leo nimeona tujadiliane hili liliotea wiki iliopita baada ya baadhi ya wachezaji wa team ya ARGENTINA kuimba kua 👉(kuna wachezaji wanacheza ufaransa ila wazazi wao na asipi yao ni cameroon, kuna wengine wanacheza ufaransa ila asili yao ni ANGOLA...) 👈 ni baadhi ya maneno yalio sikika kutoka kwa baadhi ya wachezaji wa Argentina

Hicho kitendo kilichukuliwa kama ubaguzi wa rangi ila mm naona kile walichokifanya wachezaji wa ARGENTINA ni kweli kabisa na mm nawasapot kabisa lau awa wachezaji wangekubali kucheza AFRICA uenda AFRICA ingekua na uwezo wa kufika final na kuchukua kombe la dunia au walau kufika final


Tazama morroco iliweza kufika nusu fainal ya kombe la dunia lau ingeongezeka.nguv kidog kutoka kwa wachezaji wao walio amua kucheza nje ya AFRICA basi morroco ingefika final
Africa tuna wachezaji wengi sana wa zuri wanaocheza nje na ukiwaaangalia wengine ni weusi kabisa ata mtoto mdogo akiulizwa atajib uyu ni mwafrica

Ety wana JF kati ya hakimi na saka nani mwafrica ???

Karibuni kwa hoja juu ya mada kadhaa niliozungumza hapo juu

Mali
Ngolo Kante
Osmane dembele

Tanzania
Yusuph

Nigeria
Saka

Congo
Lukaku
Kolo Muani

Kuna wachezaji walistahili kuchukua ballon d or kama vile etoo na drogba lkn walinyimwa kutokana na kua wa AFRICA

Mbappe na vini jr watanyimwa tuzo ya ballon d or kwakua ni asili ya africa oya wana jf ni mengi ya kuongea ila tupunguze maelezo tujadiliane hapa kwanza
Una mawazo ya kizamani sana.
 
Back
Top Bottom