hi to all

hi to all

i am a new member and i would like to chart.
Karibu dada,

Tafadhali katika kumbukumbu zako usinisahau kwa kuwa nimekuwa wa kwanza kukukaribisha. Ukisikia maumivu ya mgongo usisahau kuchart na mimi nikugaie vidonge ladhaa vya kutuliza maumivu.

Karibu tena!!
 
is this an International post au pen dada anaishi mwezini
 
Karibu dada,

Tafadhali katika kumbukumbu zako usinisahau kwa kuwa nimekuwa wa kwanza kukukaribisha. Ukisikia maumivu ya mgongo usisahau kuchart na mimi nikugaie vidonge ladhaa vya kutuliza maumivu.

Karibu tena!!

Ndugu yangu Asprin, si ungemuelekeza dada wa watu kule kwenye viti vya wageni (mapokezi) yaani utambulisho ili achague sehemu ya kuingi baada ya kupumzika?

Ni wazo tu mkuu Asprin aka kidonge.
 
Back
Top Bottom