Hi video clip imenihuzinisha, tunakoendea ni hatari!

Hi video clip imenihuzinisha, tunakoendea ni hatari!

dinongo

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2022
Posts
814
Reaction score
1,054
Mod, msichanganye aka kauzi,

Hivi serikali inafurahia wananchi wake wateseke kwanini? Nimemsikia mmiliki mmoja wa mabasi akisema kuwa kuna watu wakubwa wana logde zao wanazimiliki karibu na stendi kuu ya mabasi.kwahiyo kitendo Cha wao kuwapeleka abiria maeneo karibu na makwao inafanya wasipate wateja kwenye gesti zao.

Kwahiyo ndiomaana hawataki wamiliki wa mabasi wawasaidie abiria watokao mikoani kuwasogeza jirani na makwao, hususani kwa wale abiria wanaoishi maeneo ya mbali na mji.

Tazama hii clip wananchi wanavyolalamika.
 

Attachments

  • Kwa nchi zilizoendelea, tukio hili lilipaswa KUWAFURUSHA ofisini viongozi wote .mp4
    3.9 MB
Mbona hawalazimishi watu walale kwenye hizo lodge....watu kibao wanalala stendi wanapokuwa wamefika mwisho wa safari.....waTanzania wengi huwa wanakomaa kwenye baridi mpaka asubuhi....swala la Lodge ni mfuko wako na matakwa yako mwenyewe.....halafu sio Zambi wakubwa kumiliki vitega uchumi kama ni vya halali....sijawahi kusikia wanatangaza kuna Lodge kwa ajili ya abiria wanaokwenda mbali na stendi.
 
Watu wakubwa wafungue Lodge za buku Kumi waache dili za matilioni hacha utani wewe

Kinachofanyika sio sahii unamlazimishaje mwenye bus Aishie mbezi wakati anaweza kufika Mpaka mbagala kushusha abiria

kosa la kiongozi mmoja husisingizie wote
 
Watu wakubwa wafungue Lodge za buku Kumi waache dili za matilioni hacha utani wewe

Kinachofanyika sio sahii unamlazimishaje mwenye bus Aishie mbezi wakati anaweza kufika Mpaka mbagala kushusha abiria

kosa la kiongozi mmoja husisingizie wote
Aisee..
 
Ma BUS yote yashushe hapohapo Stend.


Raia achague mwenyewe, Kulala hapohapo Stend mpaka pakuche au ajiongeze !!.


Raia hapaswi kubembelelezwa kwenye jambo kama Hili.
 
Kwamba,

Abiria anaenda Mbagala.

Bus linaenda Mbagala huko huko.

Lakini abiria anatakiwa kushushwa Mbezi apande daladala kwenda Mbagala wakati Bus na lenyewe linaenda Mbagala likiwa TUPU.

Aliyefanya haya maamuzi Ni CHOKO, ANAPULIZWA NYUMA
 
Back
Top Bottom