Hi video clip imenihuzinisha, tunakoendea ni hatari!

Umeandika ujinga ulipofananisha huduma za ndege na mabus.
 
Watanzania viongozi wana roho mbaya sana sijapata kuona na hasa wakiwa kwenye V 8 wanasahau kabisa matatizo ya ndugu zao bus linaenda Gongo la mboto unalazimisha liwashushe wote hapo kweli hizi Nchi zingine zina watu wana roho mbaya huyo shetani anasubiri sana sijawahi ona maamuzi ya hovyo kiasi hicho...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…