kaizerwanaman
Member
- Sep 9, 2024
- 27
- 58
Naombeni ukaribisho wenu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa nn unasema hivyoNingejua na mi ningejiunga jana
Kwa wakati huu mimi sikaribishi wageni japo jukwaa halina ubaguzi kila mmoja anakaribishwa.naombeni ukaribisho wenu
nakubali kkNyie mliojiunga jana batch yenu haina mademu kabisa?
Sasa hapo unakubali nini ?nakubali kk
nimesahauunakubali nini ?
kwa nn unasema hivyo
Container ya mvinyo au ya nini ndugu,au ya wageni?Wiki hii max kashusha kontena.....
Karibu sana boss
Kivipi ndugu?Ni mvurugiko wiki hii
Vibami na singo mama wapumue sasa
ndo nimeiona saiviWewe huoni tarehe yako ya kujiunga unyama ni mwingi....umejoin 9/9
wapoo mkuu me jana nmeotea likaanza kuomba pesa nkakausha kama vile siye mimiInamaana nyie mliojiunga jana batch yenu haina mademu kabisa?
nishasema ni kama zizi, ng'ombe wanaingia kwa fujo kana kwamba wamekurupushwa na mchungaji aliepandwa hasira baada ya ng'ombe hao kula mazao ya watu...😂Wiki hii max kashusha kontena.....
Karibu sana boss