Cole Williams
JF-Expert Member
- Jun 1, 2016
- 35,265
- 201,451
Hapa ni mwendo wa kupokea tu wageni mkuu
[emoji23][emoji23]muda mwingine ntakukaribisha mkuu uwe kitengo chakushika mapembeNaunga mkono juhudi hizi kwa member mwingine atakayekuja kujitambulisha
Ss badala umwokoe jamaa unamchekaAisee!!ha ha ha bro
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],, jamaa umeingizwa king na ww ukaingia, naamini haumalizi mwezi haujabadili ID
Jf haiboi kwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kazi inahitaji Uzalendo wa hali ya juu sana[emoji3][emoji3][emoji3]Mkuu sekta hii ya wageni upo vizuri sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ngoja tukutaftie na mchumba kabisa Demiss ila cheti chakuzaliwa haujatuma mkuu vipi hawajakupatia
We jamaa ni matako kweli unatumaje detail zako huku. Had lipicha lako
Mamaamama eeeeeee!
Aya kabadili chap sasa ushamba ushakuisha
Mimi mwenyewe nimechelewa,nimekuta jamaa tayala ameshamwaga mboga[emoji2][emoji2]Ss badala umwokoe jamaa unamcheka
Bila kusahau nundu[emoji23][emoji23]muda mwingine ntakukaribisha mkuu uwe kitengo chakushika mapembe
Mimi mwenyewe nimechelewa,nimekuta jamaa tayala ameshamwaga mboga[emoji2][emoji2]
[emoji23][emoji23][emoji23]mkuu vipi huyu ni member mpya lazima tumfahamu mbona group za WhatsApp hua tunatambulishana
Lugha chafu kama hizi Mimi kama Adimini sizitaki mkuu Shaib rich huyu member achana nae ngoja nimpige ban asionekane humu kua Na amani mkuu uko sehem salama Na Mimi ndo Adimini humu Fanya kama nilivyokuagizaWe jamaa ni matako kweli unatumaje detail zako huku. Had lipicha lako
Mamaamama eeeeeee!
Aya kabadili chap sasa ushamba ushakuisha
Bila kusahau nundu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]km ni maskio amekamatwa hasa
Lugha chafu kama hizi Mimi kama Adimini sizitaki mkuu Shaib rich huyu member achana nae ngoja nimpige ban asionekane humu kua Na amani mkuu uko sehem salama Na Mimi ndo Adimini humu Fanya kama nilivyokuagiza
Namwonea huruma mimi hiiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787],, jamaa atakuja kumchukiA aliemuingiza chaka