Amoxlin JF-Expert Member Joined May 30, 2016 Posts 3,782 Reaction score 4,111 Aug 14, 2019 #2 Utawapata uzeeni... Kwasasa songa na yeyote utafika...
Tate Mkuu JF-Expert Member Joined Jan 24, 2019 Posts 33,092 Reaction score 96,127 Aug 15, 2019 #3 Karibu sana Jf. Hivi unataka rafiki wa aina gani vile? wa kike tu, wa kiume tu, watoto tu, wazee tu, mchanganyiko, askari, walimu, mawakili wasomi, wafanyabiashara, wakulima, madaktari, nk. Be specific please, because JF is like an Ocean.
Karibu sana Jf. Hivi unataka rafiki wa aina gani vile? wa kike tu, wa kiume tu, watoto tu, wazee tu, mchanganyiko, askari, walimu, mawakili wasomi, wafanyabiashara, wakulima, madaktari, nk. Be specific please, because JF is like an Ocean.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Aug 16, 2019 #4 Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,855 Reaction score 189,385 Aug 27, 2019 #5 You are welcome