hi

hi

Asanteni sana wadau kwa msaada wenu

Mkuu post yako inafikirisha kuliko maelezo. Mwanzo kwanza unasema tu "hi",hapo peke yake mtu anaanza kujiuliza jamaa ni member mpya?jamaa amepost request fulani ya kuomba msaada kwa hiyo kaanza na salamu? na maswali mengine mengi. Ukiifungua sasa ndo unakutana na just a line of thank you. Fafanua kidogo mkuu,hapa JF members wanaosaidiwa ni wengi hivyo hakuna atakayejua shukrani zako ni kwa ajili gani? Ni mtazamo tu lakini
 
Back
Top Bottom