Kwa nini huna kambaMgeni ila sina kamba mguuni
Basi sawa karibu utupe maujuzi na mautamuSikuwah kuregister zaid za kuingia kusoma threads za watu baaaas sasa na Mimi nimevutiwa
Sawa mkuu kuna uzi wa selfika na jf inatakiwa uweke pichaMwenyej mgeni, nilikuwa nipo nasoma tu threads kabla ya kujiandikisha
Tupia picha basiHahahaha mautamu,maumbea,maujuzi ndo yamejaaa
OkUnapiga selfie alaf unatupiamo kwenye huu uzi
Selfika na JF: Snap it. Show it...
Nimewahi we utakua wanguMgeni ila sina kamba mguuni
Karibu sana!Mgeni ila sina kamba mguuni
Nitafute kesho nikutembeze huku na kule mgeni
Umeolewa au .. [emoji848][emoji848][emoji848]Mgeni ila sina kamba mguuni