Basi acha dia babu wako aingie kazini. Subiria mrejesho baada ya mchakato kumalizika.Asante kwa kuitikia wito dia babu
Kuhusu file lake kwa kweli sijui kitu,ndio maana nimekuita unipe angalau samari
Huku PM mambo yanaenda vizuri.Una hakika hujawahiwa?
Safi sana, kaza buti utoboeHuku PM mambo yanaenda vizuri.
Mwenzangu [emoji1787]JF ishakuwa Facebook ama vp
Tunataka kuona Mche juu ya tuta kakaHuku PM mambo yanaenda vizuri.