Hi

Hi

twende kazi

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
1,520
Reaction score
461
Ndugu wana jf napenda kutoa shukrani za dhati kwenu wote kwa umoja wenu kwa ukombozi mkubwa wa kifikra mlionipatia.Hakika nimejifunza mengi sana kwa takribani kipindi cha miaka 4 nilichokuwa naperuzi mtandao huu as a guest.Naomba mzidi kuelimisha jamii ktk kuleta tija kwa mtu mmoja mmoja na taifa kwa ujumla.Mungu awabariki mno..!
 
Back
Top Bottom