Hi

Hi

Kurzweil

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
6,621
Reaction score
8,411
Jamani tumevamiwa humu na vilaza hivi huyu nani kamleta? Sasa hiki ndo nini hivi umeushirikisha ubongo wako wakati unapost? MA..SA,BURI ni kwa kazi ya kukalia sio kufikiri.
 
Mimi nadhani sheria za jf zina haja ya kutafsiriwa kwa kiswahili na ikiwezekana nyingine ndogondogo ziweke za kuwakomesha watu kama hawa.
 
Hebu kwa pa1 tui report hii post
 
mi namrepoti apigwe LIFE BAN ku***vu..mi sielew hawa watu wametokea wap??? si wakajitambulishe huko kwenye jukwa la kujitambulisha!!!!
 
halafu shangaa yuko jukwaa la education!
 
Hahahahaah!! Mods. wameshafanya kazi yao, kaletwa jukwaa la utambulisho.
 
jamani,ugeni unamsumbua msameheni labda ni F6 wa mwaka huu kaja kuangalia section.
 
Duh, mtoto akinyea mkono hauukati jamani kuweni wapole na mumueleweshe endaikawa kakosea njia au hajui kabisa.
 
Jamani tumevamiwa humu na vilaza hivi huyu nani kamleta? Sasa hiki ndo nini hivi umeushirikisha ubongo wako wakati unapost? MA..SA,BURI ni kwa kazi ya kukalia sio kufikiri.

Hivi wewe ni GT kweli? Mueleweshe, bado mgeni. Kuwa mstaarabu.
 
mi namrepoti apigwe LIFE BAN ku***vu..mi sielew hawa watu wametokea wap??? si wakajitambulishe huko kwenye jukwa la kujitambulisha!!!!

Mueleweshe bado mgeni. Kuwa mstaarabu.
 
Back
Top Bottom