Hi

Hi

Mfalme

Member
Joined
May 11, 2009
Posts
14
Reaction score
0
Mfalme hapa. Ingawa nimeshajibujibu kidogo kwenye habari kadhaa, lakini mimi bado ni mgeni hapa ukumbini. Nimeona nisalimie kidogo na kujitambulisha.Tuko pamoja, naomba mnipokee wandugu.

Mfale.
 
Karibu sana mfalme ukiweza utawale jamvi hili kwa hoja kali. Jisikie nyumbani.
 
Back
Top Bottom