Hi

Mfalme

Member
Joined
May 11, 2009
Posts
14
Reaction score
0
Mfalme hapa. Ingawa nimeshajibujibu kidogo kwenye habari kadhaa, lakini mimi bado ni mgeni hapa ukumbini. Nimeona nisalimie kidogo na kujitambulisha.Tuko pamoja, naomba mnipokee wandugu.

Mfale.
 
Karibu sana mfalme ukiweza utawale jamvi hili kwa hoja kali. Jisikie nyumbani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…