M Mtate Member Joined Feb 21, 2013 Posts 58 Reaction score 13 Mar 4, 2013 #1 am here welcome every body let's share together
King’asti Platinum Member Joined Nov 26, 2009 Posts 27,855 Reaction score 24,925 Mar 4, 2013 #2 Sasa weye ndo unatuwelkamu ama sie ndo tunakuwelukamu? Saidia kidhungu hapa watu8 Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
S Sangomwile JF-Expert Member Joined Aug 17, 2012 Posts 3,211 Reaction score 1,059 Mar 4, 2013 #3 Karibu Mtate Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
Globu JF-Expert Member Joined Jan 12, 2011 Posts 8,659 Reaction score 2,227 Mar 4, 2013 #4 Karibu JF.
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Mar 5, 2013 #5 Karibu sana JF...
Watu8 Platinum Member Joined Feb 19, 2010 Posts 73,773 Reaction score 102,126 Mar 5, 2013 #6 King'asti said: Sasa weye ndo unatuwelkamu ama sie ndo tunakuwelukamu? Saidia kidhungu hapa watu8 Click to expand... Hahaha...ukiona hivyo ujue kashafika na kukaa kwa kochi kabisa. Ndio maana kaamua kutuwelukamu sisi sote... Last edited by a moderator: Jan 4, 2016
King'asti said: Sasa weye ndo unatuwelkamu ama sie ndo tunakuwelukamu? Saidia kidhungu hapa watu8 Click to expand... Hahaha...ukiona hivyo ujue kashafika na kukaa kwa kochi kabisa. Ndio maana kaamua kutuwelukamu sisi sote...
Kubota JF-Expert Member Joined Oct 21, 2012 Posts 533 Reaction score 1,101 Mar 5, 2013 #7 Kuna mitaa mingi sana kwenye jamii hii usikose kutembelea Mtaa wa Wajasiriamali, Karibu mgeni wetu, mgeni njoo wenyeji tupate mambo mapya !!
Kuna mitaa mingi sana kwenye jamii hii usikose kutembelea Mtaa wa Wajasiriamali, Karibu mgeni wetu, mgeni njoo wenyeji tupate mambo mapya !!
Kubota JF-Expert Member Joined Oct 21, 2012 Posts 533 Reaction score 1,101 Mar 5, 2013 #8 King'asti said: Sasa weye ndo unatuwelkamu ama sie ndo tunakuwelukamu? Saidia kidhungu hapa watu8 Click to expand... Mambo ya ugeni hayo! Amefanya alichofanya bila kujua anachofanya shauri ya ugeni.
King'asti said: Sasa weye ndo unatuwelkamu ama sie ndo tunakuwelukamu? Saidia kidhungu hapa watu8 Click to expand... Mambo ya ugeni hayo! Amefanya alichofanya bila kujua anachofanya shauri ya ugeni.
Ulimakafu JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 31,248 Reaction score 13,244 Mar 5, 2013 #9 Karibu sana JF mkuu.