hi

Sasa weye ndo unatuwelkamu ama sie ndo tunakuwelukamu?
Saidia kidhungu hapa watu8
 
Last edited by a moderator:
Sasa weye ndo unatuwelkamu ama sie ndo tunakuwelukamu?
Saidia kidhungu hapa watu8

Hahaha...ukiona hivyo ujue kashafika na kukaa kwa kochi kabisa. Ndio maana kaamua kutuwelukamu sisi sote...
 
Last edited by a moderator:
Kuna mitaa mingi sana kwenye jamii hii usikose kutembelea Mtaa wa Wajasiriamali, Karibu mgeni wetu, mgeni njoo wenyeji tupate mambo mapya !!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…