HI

kutiti

Member
Joined
Jun 25, 2013
Posts
61
Reaction score
5
NI MARA YANGU YA KWANZA KUJIUNGA JF NAOMBA WADAU MNIPOKEEπŸ˜›ray:
 
NI MARA YANGU YA KWANZA KUJIUNGA JF NAOMBA WADAU MNIPOKEEπŸ˜›ray:
Mbona umevamia jukwaa la siasa !!!!
Karibu sana, tunahitaji watu wenye michango mizuri kwa maendeleo ya taifa letu zi vinginevyo...
 
mbona umevamia jukwaa la siasa !!!!
Karibu sana, tunahitaji watu wenye michango mizuri kwa maendeleo ya taifa letu zi vinginevyo...
nimevamia siasa coz ina changamoto nyingi sna so inaitaji wadau wengi
 
U are welcome!! Michango yenye kuleta mabadiliko chanya katika taifa letu inahitajika.
 
Karibu sana Kutiti, JF ni ya wote!! Welevu na wapumbavu. Itakuwa vyema ukipita kwenye sheria za JF uzisome na kuzielewa kabla ya kuendelea!!
 
ukimwita jk fastjet utapigwa ban ya wiki nzima,beware,ukitaka kumuita hivyo andika hivi,fa*tje*
 
NI MARA YANGU YA KWANZA KUJIUNGA JF NAOMBA WADAU MNIPOKEEπŸ˜›ray:

Karibu sana, zingatia alichokisema mkuu mathcom tunahitaji watu wenye michango mizuri kwa taifa letu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…