Usithubutu kununua Hiace ya Petrol. Hakikisha engine inakuwa ya diesel. Ikiwa manual ni poa zaidi, but auto sio mbaya pia... NB Sidhani kama kuna engine ya diesel ya cc 2000. Ukiona hivyo ujue hiyo ni ya Petrol. Engine ikiwa ya Diesel ikawa ya cc 2400 hiyo gari lazima itakuwa na Turbo... So standard kwa Hiace nyingi ni kuanzia cc 2700 kwa engine ya Diesel.