HICHI KIZUNGU CHA mchumi daraja lakwanza mbona kina minyoo?

HICHI KIZUNGU CHA mchumi daraja lakwanza mbona kina minyoo?

makavulaivu

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2012
Posts
401
Reaction score
158
Nimeikuta kule Facebook, Mheshimiwa akishambuliwa na vijana wa Face book.Naomba wataalamu wa lugha njooni mumsaidie MSOMI DARAJA LA KWANZA katibu msaidizi wa magamba na mapungufu yake ya ku struggle kuunda sentensi katika lugha tuliyozoea kuona ikitumiwa na wasomi.waje kumsaidia msomi wa daraja la kwanza.
TVX7]7S{IIRM8%LDWVS6HWW.jpg
 
Halafu kumbe wewe ndiye unayeitwa Richard? Huwa ninahifadhi katika database yangu majina halisi ya JF members na ID zao za humu JF. Haya Richard Ole ...
 
Halafu kumbe wewe ndiye unayeitwa Richard? Huwa ninahifadhi katika database yangu majina halisi ya JF members na ID zao za humu JF. Haya Richard Ole ...
Shkamoo Mzee wa wizarani! kijana wa Phillip Mulugo, Mbona unakosoa tuu kiswahili?Au nawe chenga tuu.
mheshimiwa hajambo?au bado ana present ule muungano wa Tanganyika na Zimbabwe?
 
Excellency comes after a long consistency on whatever you are doing. The guy has different priorities in life. Excellency has a very low rating on him!
 
Mbona maandishi madogo. ila mimi nimekaona hako kamnyoo ka kuongeza S ""...attacks and killings .."
Ananikumbusha kiingereza cha kuongeza S kila neno.
 
Back
Top Bottom