makavulaivu
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 401
- 158
... Na 'hichi' Kiswahili cha Mtanzania aliyezaliwa, kukulia na kusoma katika mazingira ya Kiswahili mbona kina minyoo?
Shkamoo Mzee wa wizarani! kijana wa Phillip Mulugo, Mbona unakosoa tuu kiswahili?Au nawe chenga tuu.Halafu kumbe wewe ndiye unayeitwa Richard? Huwa ninahifadhi katika database yangu majina halisi ya JF members na ID zao za humu JF. Haya Richard Ole ...