Safi sana.Mawasiliano kati ya Dar na kusini mwa nchi yamekatika baada ya daraja lililopo Somanga kusombwa na maji.
Ukiachana na daraja hilo, zaidi ya madaraja manne wilayani Kilwa, kati ya Lindi na Dar es Salaam yamekatika.
Hali hiyo imetokana na madhara ya kimbunga Hidaya kilichosababisha mvua kubwa katika mikoa ya Lindi na Mtwara na Kisiwa cha Mafia mkoani Pwani.
Pia, soma=β· Daraja la Somanga limekatika
The trouble maker himself,Safi sana.
πππππππ Ndo unasema kuwa anapelekaga mbwa wake kufanya mazoezi au πππππππππππππππThe trouble maker himself,
Sasa hapo safi ya nini?
Oya mkuu Poor Brain njoo jionee mwenyewe wazimu wa huyu braza yangu Maghayo ndio utaamini maneno yangu ya jana kumhusu yaani kasha mfurahia demu wake kivuruge Hidaya anavyofanya uharibifu!
ππ
Hahaaha si unajua Wazungu hua wana jogging na dogii π evening sasa braza yangu Maghayo ndio mchongo mojawapo huko Uswidi anapiga ukiacha ya kubeba box na malipo ndio hayo kukaa kwa kibibi cha kiswidi na kukilea huko akifaidi vya ndani,πππππππ Ndo unasema kuwa anapelekaga mbwa wake kufanya mazoezi au πππππππππππππππ
Ila weee mkuu hovyo sana πππππππππππππππππππππππ
ππππππππππ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίππππππππ Wee una utani wa ngumi...Hahaaha si unajua Wazungu hua wana jogging na dogii π evening sasa braza yangu Maghayo ndio mchongo mojawapo huko Uswidi anapiga ukiacha ya kubeba box na malipo ndio hayo kukaa kwa kibibi cha kiswidi na kukilea huko akifaidi vya ndani,
Watu wanafaidi sana mkuu hapa bongo tunapauka tu soon na mimi nitadondoka huko kwa kitonga zaidi!
ππ
Lindi ndo homeMawasiliano kati ya Dar na kusini mwa nchi yamekatika baada ya daraja lililopo Somanga kusombwa na maji.
Ukiachana na daraja hilo, zaidi ya madaraja manne wilayani Kilwa, kati ya Lindi na Dar es Salaam yamekatika.
Hali hiyo imetokana na madhara ya kimbunga Hidaya kilichosababisha mvua kubwa katika mikoa ya Lindi na Mtwara na Kisiwa cha Mafia mkoani Pwani.
Pia, soma=β· Daraja la Somanga limekatika