Hifadhi ya Taifa ya Amboseli yakabidhiwa kwa kaunt ya Kajiado ili wasimamie, Ngorongoro Wamasai wanatimuliwa kama Paka mwizi

Hifadhi ya Taifa ya Amboseli yakabidhiwa kwa kaunt ya Kajiado ili wasimamie, Ngorongoro Wamasai wanatimuliwa kama Paka mwizi

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Amboseli sasa ni rasimi itasimamiwa na kuendeshwa na kaunti ya Kajiado kumbuka hata Masai mara inasimamiwa na kaunti ya Narok ambayo ndio inachukua mapato.

Sasa piga picha pale Ngorongoro jinsi Wamasai wanavyo furushwa kama digidigi ili eneo wapewe Waarabu Wajomba.

Au jiulize Serengeti inawafaidisha vipi wenyeweji? Manyara inawafaidishwa vipi wenyeji? sio hifadhi tu nenda Migodini uone madini yanavyo chimbwa na raia wanao ishi kule wakibakia masikini wa kutupwa. Kule North Mara ni full umasikini nenda Geita huko.

Tanzania kasi ya kuhamisha raia na kuwapa maeneo wawekezaji ni kasi ya kutisha kabisa.
 
Sijaelewa.
Ndiyo kusema mama kaharibu utaratibu?
 
Ngorongoro ife ili utalii uhamie Kanda ya ziwa, wamasai waendelee kuzaana kama panya, ngorongoro iwe makazi kama Tandale. Kwa akili zao wanadhani wanashindana na mtu
 
Amboseli sasa ni rasimi itasimamiwa na kuendeshwa na kaunti ya Kajiado kumbuka hata Masai mara inasimamiwa na kaunti ya Narok ambayo ndio inachukua mapato.

Sasa piga picha pale Ngorongoro jinsi Wamasai wanavyo furushwa kama digidigi ili eneo wapewe Waarabu Wajomba.

Au jiulize Serengeti inawafaidisha vipi wenyeweji? Manyara inawafaidishwa vipi wenyeji? sio hifadhi tu nenda Migodini uone madini yanavyo chimbwa na raia wanao ishi kule wakibakia masikini wa kutupwa. Kule North Mara ni full umasikini nenda Geita huko.

Tanzania kasi ya kuhamisha raia na kuwapa maeneo wawekezaji ni kasi ya kutisha kabisa.
Tatizo letu lipo kwenye model ya usimamizi tuliyochagua!
Ukifuatilia hata kwenye Jumuiya ya Hifadhi za Kijamii (WMA) bado unakuta serikali kuu inachukua fungu kubwa kuliko kuliko vijiji husika!
Dhana ya community-based natural resources conservation kwa Tanzania bado ni mlima mrefu sana!
 
Back
Top Bottom