High Court: Appointment of IEBC returning officers illegal

Nyati

JF-Expert Member
Joined
Mar 6, 2009
Posts
2,521
Reaction score
1,906
Mahakama yasema mchakato wa uteuzi wa wasimamizi wa uchaguzi ulikuwa batili.

========

The process that led to the appointment of constituency returning officers and their deputies is illegal, High Court has ruled.

Judge George Odunga on Wednesday found that the Independent Electoral and Boundaries Commission did not follow the law while appointing the poll officials.

However, the judge declined to quash the gazette notice on the appointment of the election managers.

Source: Daily Nation
 
Kwa kweli haki itendeke, Bravo wakenya kiukweli mlijifunza sana 2007.Na sisi itabidi tuchapane tu ili tujifunze.
 
Mungu anyooshe mkono wake kwa majirani zetu maana wanapita kwenye wakati huu mgumu
 
Kwa kweli haki itendeke, Bravo wakenya kiukweli mlijifunza sana 2007.Na sisi itabidi tuchapane tu ili tujifunze.
victoire hujambo, naona jana hekalu la bwana lilitaka kuchafuliwa.
Tukichapana tutakuwa na akili. Lakini mbona Rwanda/ Burundi bado ni yale yale pamoja na mauaji ya halaiki!
 
Sisi bado wanao jipendekeza bado tunao wengi akina speaker wa bunge, mahakama, safari bado ndefu
 
Usiwe unatoa habari nusu nusu, kwa bahati nzuri hii kesi ilikuwa live Citizen TV, ni kweli jaji amesema kwamba uteuzi wa returning officers 290 wa IEBC ni illegal kwa kuwa haukuwa consult wagombea kama sheria na katiba ya Kenya inavyotaka, lakini akasema for the interest of the country hiyo haiwezi kuwa excuse ya kutofanya uchaguzi. Baada ya kumaliza kutoa uamuzi huo mdogo, wakaenda kwenye kesi ya msingi kuhusu kuahirisha uchaguzi ama kuendelea ambayo ilikuwa inasikilizwa na jaji mkuu supreme court Malanga. Uamuzi aliotoa ni kwamba hawezi kuendelea kusikiliza shauri hilo kwa kuwa akidi ya uwakilishi wa wagombea urais haikutimia.
 
Hii taarifa ina impact gani katika uchaguzi wa kesho?
 
victoire hujambo, naona jana hekalu la bwana lilitaka kuchafuliwa.
Tukichapana tutakuwa na akili. Lakini mbona Rwanda/ Burundi bado ni yale yale pamoja na mauaji ya halaiki!
Rwanda na Burundi walishawekewa chuki baina ya watutsi na wahutu. Wabelge waliwapandia mbegu ya chuki inawatafuna vizazi na vizazi. Sisi kwetu itakuwa nguvu ya umma dhidi ya utawala bila kujali kabila. Burundi na Rwanda hawajafanikiwa sababu ya uhutu na ututsi.
 
Hii taarifa ina impact gani katika uchaguzi wa kesho?
No impact at all. Uchaguzi utafanyika kesho baada ya SCoK kukosa quorum kwa msingi wa kukosa idadi maalum ya majaji kusikiza na kuamua kesi ya kuhairisha uchaguzi.
 
Kwa kweli haki itendeke, Bravo wakenya kiukweli mlijifunza sana 2007.Na sisi itabidi tuchapane tu ili tujifunze.
ukija upande wa pili unampigia vigelegele bob mikwara. huku kenya unatamani na sisi tuchapane ili heshima iwepo. hueleweki dada
 
ukija upande wa pili unampigia vigelegele bob mikwara. huku kenya unatamani na sisi tuchapane ili heshima iwepo. hueleweki dada
Lazima nisieleweke Kwako, binafsi Mukulu akifanya vyema huwa nampongenza na akivurunda huwa namsema. I'm a free soul.
 
Kwa kweli haki itendeke, Bravo wakenya kiukweli mlijifunza sana 2007.Na sisi itabidi tuchapane tu ili tujifunze.
sidhani Kama kuchapana kwaweza Leta suluisho, kinachotakiwa kuomba Sana, ili viongozi wetu wawe na roho wa Mungu. Wasiwe na matamanio ya utawala bali watamani kuongoza kwa haki.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…