Wajaribu hawa.Nimeangalia ila hawauzi mdf wao ni mafundi mm nataka maduka yanayouza mdf material ya kituruk
Picha yako haifunguki unaweza nitajia jinaWajaribu hawa.
View attachment 2962203
Hivi hizi MDF Ni ngumu au Bora/Imara kama mninga.,maana zisijekuwa kama makabati YA kichna ambayo huwa hayadumuHabari,
Natafuta mdf board za kituruki ziwe high gross kama zile kwa sasa wanatengenezea makabati ya jikon au tv show case kwa anaejua ni nani anauza hizo board hapa Dar es Salaam atakua kanisaidia sana au kama kuna page ya insta inayouza hizo board anisaidie mfano ni kama haya makabati nime attach hapa chini.
View attachment 2961649
Ndugu, hizi MDF zina madhara ya kiafya, zinatoa mionzi( zina chemical mix ) inayo sababisha cancer-mninga utakufaa soma article hii: https://www.mountsinai.org/files/MS...as/Occupational-Medicine/MDFforCarpenters.pdf
Kuzipata hizo ujipange pia Kwa gharamaZile za kung'aa kama kioo hivi
Ukikosa kbsa nicheki chap mm ninazo ila Niko ddmHabari,
Natafuta mdf board za kituruki ziwe high gross kama zile kwa sasa wanatengenezea makabati ya jikon au tv show case kwa anaejua ni nani anauza hizo board hapa Dar es Salaam atakua kanisaidia sana au kama kuna page ya insta inayouza hizo board anisaidie mfano ni kama haya makabati nime attach hapa chini.
View attachment 2961649
Zimejaa kariakoo teleKuzipata hizo ujipange pia Kwa gharama
Kwako unauzaje (Bei?Ukikosa kbsa nicheki chap mm ninazo ila Niko ddm
Asikudanganye mtu mdf zote zinatengezwa na wachina nyingi zinatoks Brazil na south Africa
Kanda Trading CompanyPicha yako haifunguki unaweza nitajia jina
Bei Ni 55mm 16 8*4 kwa 130 mim 18 9*6Kwako unauzaje (Bei?
Asante