Huku bongo lipo hili?
Huku bongo lipo hili?
mengi yapo kenya linachomoka si mchezo, kuna clip flan niliona mtandaoni jamaa wa subaru alkuwa kama ame overtake hii nissan GT, ghafla jamaa wa Gt akajaza moto wa laana,subaru ilipitwa kama upepo wakabaki wanacheka tuu, ipo youtube hii clipHuku bongo lipo hili?
Kwenye hiyo list hakuna gari jnayoifikia mistubishi Evo huo ni motoWakuu kwema?
Mm ni muumini mkubwa wa haya magari ambayo yana perfomance kubwa na nzuri hapo road, pia kwa maswala ya masafa marefu
Hii ni list yangu fupi ya highly perfomance car:
1–subaru forester crossport turbo
2–mitsubishi lancer Evo
3–subaru imprezza WRX turbo
4–Nissan GT–R
Fanya kudondosha na ww list yako kali ya magari unayoyakubali
Evo na gtr ni TATA na SCANIA,kumuweka GTR na hao kwenye list ni dharau.Kwenye hiyo list hakuna gari jnayoifikia mistubishi Evo huo ni moto
Hiki chuma ni balaa, kuna mwamba hapa arusha anaitwa jason frisby anayo Evo 6, ni nouma aseeKwenye hiyo list hakuna gari jnayoifikia mistubishi Evo huo ni moto
Hii STI G5 kwa auto iko vyema?Subaru Forester Cross Sport walipokosea ni kuweka transmission gia 4 tu kwa automatic mara mia upate manual yake yenye gia 5 utaifurahia...au ukipata Forester STI SG5 ingawa ushuru wake ni mkubwa sana kama 29m hivi...
Hio STI SG5 ni manual gia 6 front...
Evo na gtr ni TATA na SCANIA,kumuweka GTR na hao kwenye list ni dharau.
Hatari sna mkuu, hivi ule moto unaotoka kwenye exhaust huwa kunafanyika mechanism gani mpaka iwe hivo? Au ndo wanafanya tuning?Hiyo Subaru forester yenye turbo nilitaka kununua mwaka juzi Ila baadae nikabadilisha maamuzi nikavuta rumion Ila sometimes najilaumu kwanini niliogopa kuchukua hiyo ndinga... nimeshawah kuendesha kidogo Toka chamazi Hadi tegeta nimeipenda Sana hiyo chuma..
Tatizo la gari zetu za Japan ni 4 speed transmission ndiyo maana tukikutana na akina Volkswagen golf GTi tunaishia kuisoma namba Tu maana hii ndinga hata uwe na crown utakalishwa tu
Ule Moto kuna vifaa Fulani wanaunganisha Ila kwangu napenda Sana Subaru walizofunga BLOW OFF VALVE (BOF) au Kwa Jina lingine wanaita dump valveHatari sna mkuu, hivi ule moto unaotoka kwenye exhaust huwa kunafanyika mechanism gani mpaka iwe hivo? Au ndo wanafanya tuning?
Sent using Jamii Forums mobile app