KERO Higher Education Loans Board (HESLB) imetucheleweshea malipo Wanafunzi wa Vyuo Vikuu, hatuna pesa za kujikimu

KERO Higher Education Loans Board (HESLB) imetucheleweshea malipo Wanafunzi wa Vyuo Vikuu, hatuna pesa za kujikimu

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua
A

Anonymous

Guest
Najitambulisha kama Mwanachuo wa Chuo Kikuu kimoja hapa Tanzania na mdau wa Jamii Forums.

Nalalamikia Loans Board kuchelewesha malipo kwa Wanafunzi vyuoni. Mfano chuoni kwetu tumefungua Tarehe 21/10/2024 lakini mpaka sasa tumeingia mwezi Novemba 2024 hawajafanya malipo japo ya allocations kufanyika mapema tukiwa bado tupo likizo. Tunapitia wakati mugumu kuendesha maisha chuoni hatuna pesa za kujikimu.

Naishauri HESLB kufanya malipo ya Wanafunzi kwa wakati isitupe wakati Mugumu Wanafunzi wengine wanatokafamilia za chini ambazo hazina uwezo wa kumudu.

Wengine wanafungua Vyuo wiki hii inayoanza Novemba 4, 2024 na kawaida Mwanafunzi anatakiwa kuingiziwa fedha wiki moja au siku chache kabla ya kuanza mwaka wa masomo, pia kuna Watu hata allocation kujua kiasi tulichopangiwa Mwaka 2024/25 bado hawajajua.

Je, na ni lini HESLB itakamilisha malipo kwa Wanafunzi?


Higher-Education-Students-Loans-Board.-780x470.jpg
 
Shu
Najitambulisha Kama mwanachuo wa chuo kikuu kimoja hapa Tanzania na mdau wa Jamii forums.

Nalamikia loans board kuchelewesha malipo kwa Wanafunzi vyuoni.Mfano chuoni Kwetu tumefungua Tarehe 21/10/2024 lakini mpaka Sasa tunaingia mwezi wa Kumi na moja hawajafanya malipo japo ya allocations kufanyika mapema tukiwa Bado tupo likizo. Tunapitia wakati mugumu kuendesha maisha chuoni hatuna pesa za kujikimu.
Naishauri loans board kufanya malipo ya Wanafunzi kwa wakati isitupe wakati Mugumu Wanafunzi wengine wanatokafamilia za chini ambazo hazina uwezo wa kumudu.

Je, na nilini HESLB itakamilisha malipo kwa Wanafunzi?

Thank god hata Una uhakika hizo pesa
 
Mfano hapa UDSM, Watu wengi hawaoni allocation, wenye allocation hawajaona hela zao, hakuna sababu ya Msingi ambayo bodi wameitoa mpaka sasa.
 
Mfano hapa UDSM, Watu wengi hawaoni allocation, wenye allocation hawajaona hela zao, hakuna sababu ya Msingi ambayo bodi wameitoa mpaka sasa.
Dahh hapa main campus matatizo tu ila DUCE tayari tangu ijumaa
 
Najitambulisha kama Mwanachuo wa Chuo Kikuu kimoja hapa Tanzania na mdau wa Jamii Forums.

Nalalamikia Loans Board kuchelewesha malipo kwa Wanafunzi vyuoni. Mfano chuoni kwetu tumefungua Tarehe 21/10/2024 lakini mpaka sasa tumeingia mwezi Novemba 2024 hawajafanya malipo japo ya allocations kufanyika mapema tukiwa bado tupo likizo. Tunapitia wakati mugumu kuendesha maisha chuoni hatuna pesa za kujikimu.

Naishauri HESLB kufanya malipo ya Wanafunzi kwa wakati isitupe wakati Mugumu Wanafunzi wengine wanatokafamilia za chini ambazo hazina uwezo wa kumudu.

Wengine wanafungua Vyuo wiki hii inayoanza Novemba 4, 2024 na kawaida Mwanafunzi anatakiwa kuingiziwa fedha wiki moja au siku chache kabla ya kuanza mwaka wa masomo, pia kuna Watu hata allocation kujua kiasi tulichopangiwa Mwaka 2024/25 bado hawajajua.

Je, na ni lini HESLB itakamilisha malipo kwa Wanafunzi?


Acha
 
Acha tu wanafunzi wanateseka sana, Kuna 1 ametoka familia yenye Hali duni amepewa mkopo wa 530,000 tu ,Hana chochote,imebidi tuombe michango Kwa watu Ili aweze kusajiliwa chuoni Yani mpk inaumiza sana. Bodi Hili waliangalie sana.
 
Acha tu wanafunzi wanateseka sana, Kuna 1 ametoka familia yenye Hali duni amepewa mkopo wa 530,000 tu ,Hana chochote,imebidi tuombe michango Kwa watu Ili aweze kusajiliwa chuoni Yani mpk inaumiza sana. Bodi Hili waliangalie sana.
😭😭😭 Inaumiza mnoo
Haya malalamiko wanayapata vipi Sasa
 
Tena natamani ningepata no ya Bodi ya mikopo, Kuna watoto wetu wameomba mkopo mwaka Jana wakakosa, wakakata rufaa hawajapata , wameomba Tena mwaka wa 2 Tena mpk sasa hakuna majibu , mufikirie jamani unakuta Mtoto anakaa Tanzania Bara amepangiwa chio Zanzibar,maisha Magumu lkn Wala hamjali kbs nyie watu wa bodi ya mkopo. Twende wapi tusikilizwe???
 
😭😭😭 Inaumiza mnoo
Haya malalamiko wanayapata vipi Sasa
Kwani wanajali ? Mradi mishahara unaingia hawana shida, hata uwafuate kwenye page yao ulalamike hawasimi msg Wala hawajali, afadhali Tanesco wanajali wateja kuliko wao.🤪
 
Najitambulisha kama Mwanachuo wa Chuo Kikuu kimoja hapa Tanzania na mdau wa Jamii Forums.

Nalalamikia Loans Board kuchelewesha malipo kwa Wanafunzi vyuoni. Mfano chuoni kwetu tumefungua Tarehe 21/10/2024 lakini mpaka sasa tumeingia mwezi Novemba 2024 hawajafanya malipo japo ya allocations kufanyika mapema tukiwa bado tupo likizo. Tunapitia wakati mugumu kuendesha maisha chuoni hatuna pesa za kujikimu.

Naishauri HESLB kufanya malipo ya Wanafunzi kwa wakati isitupe wakati Mugumu Wanafunzi wengine wanatokafamilia za chini ambazo hazina uwezo wa kumudu.

Wengine wanafungua Vyuo wiki hii inayoanza Novemba 4, 2024 na kawaida Mwanafunzi anatakiwa kuingiziwa fedha wiki moja au siku chache kabla ya kuanza mwaka wa masomo, pia kuna Watu hata allocation kujua kiasi tulichopangiwa Mwaka 2024/25 bado hawajajua.

Je, na ni lini HESLB itakamilisha malipo kwa Wanafunzi?


If you think education is expensive, try ignorance - JK Nyerere
Watanzania lazima tubadilike, meatier mtoto life insurance ya chini kabisa ni 69,000/= kwa mwezi, by the time anafikisha 18 years hakosi 23m, hii itamsaidia kupata elimu bora
 
If you think education is expensive, try ignorance - JK Nyerere
Watanzania lazima tubadilike, meatier mtoto life insurance ya chini kabisa ni 69,000/= kwa mwezi, by the time anafikisha 18 years hakosi 23m, hii itamsaidia kupata elimu bora
Mkatie
 
Back
Top Bottom