Hii ahadi ya Mo Dewji ni kichekesho tu maana anajua kabisa Kilimanjaro Stars hawana uwezo wa kuleta ubingwa wa CECAFA

Hivi hawa tifutifu huwa wanapata wapi makocha wabovu kwa timu ya taifa??? kupeana mapande tu.
 
Huyu Mhindi huwa nina doubt nae sana,anaipenda Tanzania kweli huyu ?Naona anapenda fursa za Tanzania tu.Hapo naona anatangaza pikipiki zake tu.
Hakuna bepari wa mapenzi ya dhati kila kitu ni strategy
 
Angetoa kabla timu haijasafiri

Hata angeahidi kabla ya hiyo michuano kuanza bado mngeponda tu, msingekosa cha kusema!
...bila shaka wewe ni mfuasi wa mbute mbute, maana mkisikia jina la MO tu nilazima kiharo kigonge chupi!



Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hata angeahidi kabla ya hiyo michuano kuanza bado mngeponda tu, msingekosa cha kusema!
...bila shaka wewe ni mfuasi wa mbute mbute, maana mkisikia jina la MO tu nilazima kiharo kigonge chupi!



Sent from my iPhone using JamiiForums
Na siwezi kuwa mbumbumbu fc " never"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…