Hii aibu sitokuja kuisahau

Sawa mama hongera
Nicheke kisa nini?

Nipo mbele ya Mola wangu natakiwa niwe msafi kuanzia mwili, mawazo na sehemu ninayofanyia ibada. Kimoja kikipungua ibada yangu haitokamilika.

And you reckon I will still have the audacity to laugh? [emoji848][emoji848]
 
Mmh!!!! wewe afadhari kidogo nimejapa kwenye daladala, ya mbagara leo nikiwa karibu na Konda, konda kanijibu si ungekunya moja kwa moja ili nijue kabisa hiki ni choo chako......nikaka shuka kituo kilichafuatia kwa aibu.
 
We jamaa ulikua kilaza. Hizo hesabu za form 2.

Usikute hadi leo hujui jibu. Haya kula hiyo:

LOGALOGA

Thank me later
 
Nicheke kisa nini?

Nipo mbele ya Mola wangu natakiwa niwe msafi kuanzia mwili, mawazo na sehemu ninayofanyia ibada. Kimoja kikipungua ibada yangu haitokamilika.

And you reckon I will still have the audacity to laugh? [emoji848][emoji848]
unaniuaga na kiingereza chako tuu


kizuri nakufa na kufufuka

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Sio wewe tu ata me ningeshindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…