Hii Asante Kotoko Ndiyo ile Yenyewe Tunayoijua?

Hii Asante Kotoko Ndiyo ile Yenyewe Tunayoijua?

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Nilitegemea kuona upinzani mkali kwenye game ya timu hii dhidi ya simba lakini matokeo ndiyo yakawa yale
Leo hapa nasikia kumbe timu hiyo ilipigwa tena goli 5 na wenyeji al hilal nikastuka,maana kwa miaka mingi jina asante kotoko lilikua jina la kuheshimika katika soka,sasa nilivyopata matokeo haya kwangu lnimeshangaa na kujiuliza kulikoni?
Kweli hii ni ile Asante kotoko niliyoijua miaka yote?
Kweli soka la ghana limeporomoka kiasi hiki?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nilitegemea kuona upinzani mkali kwenye game ya timu hii dhidi ya simba lakini matokeo ndiyo yakawa yale
Leo hapa nasikia kumbe timu hiyo ilipigwa tena goli 5 na wenyeji al hilal nikastuka,maana kwa miaka mingi jina asante kotoko lilikua jina la kuheshimika katika soka,sasa nilivyopata matokeo haya kwangu lnimeshangaa na kujiuliza kulikoni?
Kweli hii ni ile Asante kotoko niliyoijua miaka yote?
Kweli soka la ghana limeporomoka kiasi hiki?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wachezaji wake wengi wapo timu ya Taifa wanacheza mechi za CHAN wamepeleka kikosi B
 
Nilitegemea kuona upinzani mkali kwenye game ya timu hii dhidi ya simba lakini matokeo ndiyo yakawa yale
Leo hapa nasikia kumbe timu hiyo ilipigwa tena goli 5 na wenyeji al hilal nikastuka,maana kwa miaka mingi jina asante kotoko lilikua jina la kuheshimika katika soka,sasa nilivyopata matokeo haya kwangu lnimeshangaa na kujiuliza kulikoni?
Kweli hii ni ile Asante kotoko niliyoijua miaka yote?
Kweli soka la ghana limeporomoka kiasi hiki?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Bila shaka hujafuatilia mpira siku nyingi
Afrika Magharibi hakuna timu siku hizi. Wachezaji wengi wanacheza nje ya nchi zao. Hata timu za Taifa huwezi kuta mchezaji ligi ya ndani kaitwa
 
Hapana mkuu,hii siyo Asante Kotoko tunayojua,wale ni Vipers.
Shida yenu mnahangaika kutafuta mechi na timu dhaifu matokeo yake tukikutana na tunawapiga kirahisi

Na mjiandae oktoba 23 tutaanzia pale tulipoishia,hamsa zinawahusu mara hii

Moloko.....Fiston...
Aziz k........Morisson...Faisal....Aucho.
Yannick.....Djuma...Kibwana....Job..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Shida yenu mnahangaika kutafuta mechi na timu dhaifu matokeo yake tukikutana na tunawapiga kirahisi

Na mjiandae oktoba 23 tutaanzia pale tulipoishia,hamsa zinawahusu mara hii

Moloko.....Fiston...
Aziz k........Morisson...Faisal....Aucho.
Yannick.....Djuma...Kibwana....Job..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Mada imekuwa ya oktoba 23 na sio kotoko?
 
Hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu,pole sana uto
Shida yenu mnahangaika kutafuta mechi na timu dhaifu matokeo yake tukikutana na tunawapiga kirahisi

Na mjiandae oktoba 23 tutaanzia pale tulipoishia,hamsa zinawahusu mara hii

Moloko.....Fiston...
Aziz k........Morisson...Faisal....Aucho.
Yannick.....Djuma...Kibwana....Job..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Nilitegemea kuona upinzani mkali kwenye game ya timu hii dhidi ya simba lakini matokeo ndiyo yakawa yale
Leo hapa nasikia kumbe timu hiyo ilipigwa tena goli 5 na wenyeji al hilal nikastuka,maana kwa miaka mingi jina asante kotoko lilikua jina la kuheshimika katika soka,sasa nilivyopata matokeo haya kwangu lnimeshangaa na kujiuliza kulikoni?
Kweli hii ni ile Asante kotoko niliyoijua miaka yote?
Kweli soka la ghana limeporomoka kiasi hiki?

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hopeless Wewe na Uyanga SC wako, Simba SC ingefungwa nayo ( nao ) ungekuja kama hivi Kinafiki na Kuuliza?
 
Shida yenu mnahangaika kutafuta mechi na timu dhaifu matokeo yake tukikutana na tunawapiga kirahisi

Na mjiandae oktoba 23 tutaanzia pale tulipoishia,hamsa zinawahusu mara hii

Moloko.....Fiston...
Aziz k........Morisson...Faisal....Aucho.
Yannick.....Djuma...Kibwana....Job..

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
mechi ipi ya kimataifa hamjawahi kufungwa tangu ujio wa nabii? Nye mnakutana tu na timu ngumu mda wote ? Si mwache basi kufanya mechi za kirafiki au za kimataifa
 
Unawajua vizuri al hilal au unafuata upepo kama bendera.
 
Back
Top Bottom