Hii Bajaji naweza vipi kuagiza ifike Tanzania?...

ikiumasema

JF-Expert Member
Joined
Oct 9, 2015
Posts
923
Reaction score
1,299
Wakuu habari zenu....nimejaribu kupita alibaba nimeiona hiyo bajaji,kwa hiyo bei hapo naona inaweza kuwa afordable kuliko kununua hapa Tanzania....japo wameandika min order unatakiwa kununua 4 naomba kuuliza je siwez kufanya manunuzi yake kama watu wa magari wanavyoweza kununua moja kwa moja kutoka japan au kwingineko?
 
Minimum order nne,unaweza ziagiza sema muulize seller shipping methods
 
Minimum order nne,unaweza ziagiza sema muulize seller shipping methods
Sawa mkuu......ila ningepata mtu akanieleza mpk utaratibu wake kwenye kodi hapa tz nadhani ingenisaidia sana...
 
Aiseee chalii yangu mimi sijui ila wenye viherehere wakujua mambo humu jamvini watakuja kukusaidia
 
Ukiingia leta mrejesho mkuu..utatusaidia wengi kuliko kununua bajaji moja millions 7 kwa hapa bongo
 
Bajaji kwenye tovuti ya alibaba ni za bei ya chini.

ila mpaka ikufikie utakuta bei ya kununulia hapa tz ni nafuu kuliko kuagiza toka alibaba.

sababu.


shipping COST za bajaji au gari ni kubwa sana hasa kama unaigiza bajaji chache.

Kujiridhisha ongea na seller kuhusu shipping kupata uhakika. Hapo bado gharama za bandarini.
 
Hiyo sio rahisi kama unavyofikiria. Hapo kwa haraka haraka ni kama 3m hivi ambayo ni pesa ya kuagiza labda mpaka mzigo ufuke bandarini DSM.

TRA watakucharge kodi zaidi au sawa na thamani ya bajaji yako. Let say jumla itakuwa 6.5m wakati huku unaweza kupata kwa 6 - 7m kwa hapa hapa Bongo. Kazi kwako.[/QUOTE]QUOTE="ikiumasema, post: 31584089, member: 330460"]
Wakuu habari zenu....nimejaribu kupita alibaba nimeiona hiyo bajaji,kwa hiyo bei hapo naona inaweza kuwa afordable kuliko kununua hapa Tanzania....japo wameandika min order unatakiwa kununua 4 naomba kuuliza je siwez kufanya manunuzi yake kama watu wa magari wanavyoweza kununua moja kwa moja kutoka japan au kwingineko?View attachment 1106800
[/QUOT
 

Mkuu ikiumasema habari, Je ulifanikiwa kuagiza bajaji tajwa hapo juu. naomba uzoefu wako. KUAGIZA BAJAJI KUTOKA NJE YA NCHI

Ahsante
 
Mkuu ikiumasema habari, Je ulifanikiwa kuagiza bajaji tajwa hapo juu. naomba uzoefu wako. KUAGIZA BAJAJI KUTOKA NJE YA NCHI

Ahsante
Mkuu njoo PM kama una utayari



Je umeagiza gari nje ya nchi na unahitaji Huduma ya clearance ya gari lako? Na unawaza Agent gani atakutolea bandarini Dar es salaam kwa bei nafuu na haraka? Basi angalia bei zangu za baadhi ya magari (Local) ya *TOYOTA* km ifuatavyo.. na km aina ya gari lako haipo apa usisite kuniuliza.
1: IST - 750,000/=
2: HARRIER New-900,000
3: HARRIER Old-800,000/
4: RAV 4 - 800,000/=
5: RAUM - 750,000/=
6: SPACIO - 750,000/=
7: PASSO - 750,000/=
8: VITZ - 700,000/=
9: PREMIO - 750,000/=
10: ALTEZA - 750,000/=
11: SUBARU - 750,000/=
12: CARINA - 750,000/=
13:COASTER-1,760,000/=
14: CANTER- 1,300,000/=
----------------------------------------
Gharama hizi zinahusisha malipo ya
1: Port Charges
2: Shipping Line
3: Walfage
4: Agent Fee
5: Plate no + Registration
----------------------------------------
DM/Piga 0653953900-0719606029
Company: DN holdings
Location: Nkurumah st
Dar es salaam, Tanzania

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mkuu Msafirishaji habari, uko juu sana. Mimi nina Clearer wangu.

Ahsante
 
Unatumia method gani wakati wa kukununua hiyo bidhaa?, vipi kuhusu shipment, fanya utafiti mzuri kuhusu gharama mpaka kuifikisha hapa hometown unaeza kuta imetofautiana gharama ndogo na wauzaji wa hapa nchini

Ahsante
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…