KERO Hii Barabara eneo la Igogo - Mwanza inatutesa wengi, kwani Viongozi wanaohusika hawaioni?

KERO Hii Barabara eneo la Igogo - Mwanza inatutesa wengi, kwani Viongozi wanaohusika hawaioni?

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

KwetuKwanza

Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
82
Reaction score
150
IMG-20241125-WA0024.jpg
Kuna changamoto ya miundombinu ya Barabara katika eneo la Igogo inayopita Soko la Wafanyabishara Wadogo la Mchafu Koga.

Changamoto hiyo inasababisha vyombo vya usafiri hasa Daladala kutopita katika eneo hilo kwa wasiwasi wa kuharibu vyombo vyao vya moto huku abiria nao wakikumbana na adha ya usafiri.

Aidha, pembezoni mwa Barabara hiyo kuna Soko la Wafanyabiashara Wadogowadogo yaani Wajasiriamali wadogo waliohamishwa kutoka Mjini Kati na Makaroboi na kuhamishiwa eneo hilo, ambapo wanapata tabu kuuza biashara zao kutokana na Wateja kutofika eneo hilo kwa sababu ya kero iliyopo.
IMG-20241125-WA0025.jpg

WhatsApp Image 2024-11-26 at 10.51.07_5f86c6b4.jpg

WhatsApp Image 2024-11-26 at 10.51.06_4c244699.jpg

WhatsApp Image 2024-11-26 at 10.50.32_9b82774a.jpg

 

Attachments

  • WhatsApp Image 2024-11-26 at 10.50.25_463c36a8.jpg
    WhatsApp Image 2024-11-26 at 10.50.25_463c36a8.jpg
    396.8 KB · Views: 4
Mwanza hata inayoitwa barabara kuu kuna bongo movie nying znaendlea sana mkoa huu
 
Back
Top Bottom