wiseboy
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,930
- 3,305
hbr jaman....
kuna sehem nategemea kupata 6m sasa nilitaka kuweka kwenye broilers sasa mahesab mbona yanaleta lost
kwa kuku
mmoja
Wiki ya 1 15g*kuku 1000=15,000 sawa na kilo 15kwa siku na sawa kilo 105 kwa wiki na ni sawa na mifuko 2 ya chakula (2bags@50,000/ )
=100,000
Wiki ya 2 25g *kuku 1000=25,000 sawa na kilo 25kwa siku na sawa kilo 175 kwa wiki na ni sawa na mifuko 4ya chakula (4bags@50,000/ )
=200,000/
Wiki ya 3 35g *kuku 1000=35,000 sawa na kilo 35kwa siku na sawa kilo 245 kwa wiki na ni sawa na mifuko 5 ya chakula (5bags@50,000/ )
=250,000/-
Wiki ya 4 50g *kuku 1000=5000 sawa na kilo 50 kwa siku na sawa kilo 350 kwa wiki na ni sawa na mifuko 7ya chakula (7bags@50,000/ )
=350,000/-
Wiki ya 5 65g *kuku 1000=65,000 sawa na kilo 65kwa siku na sawa kilo 455 kwa wiki na ni sawa na mifuko 9 ya chakula (9bags@50,000/ )
=450,000/-
Wiki ya 6 85g
*kuku 1000=85,000 sawa na kilo 85kwa siku na sawa kilo 595 kwa wiki na ni sawa na mifuko 12ya chakula (12bags@50,000/ )
=600,000/-
Wiki ya 7 105g *kuku 1000=105.000 sawa na kilo 105kwa siku na sawa kilo 735 kwa wiki na ni sawa na mifuko 15 ya chakula (15bags@50,000/ )
=750,000/-
Wiki ya 8 120g *kuku 1000=120,000 sawa na kilo 120 kwa siku na sawa kilo 840 kwa wiki na ni sawa na mifuko 17 ya chakula (17bags@50,000/ )
=850,000/-
JUMLA YA GHARAMA YA CHAKULA NI 3,550,000 PLUS GHARAMA YA KIFARANGA KIMOJA 1500 sawa na 1,500,000/ inakuwa jumla 5.5m
sasa ukaja kuuza kwa 5000 si ni sawa na 5m bado sijaweka gharama za dawa ....mhudumu...transport cost tuseme inafika 6m sasa hapa ni biashara au hasara? je mnaofanya hii project nyie mnaifanyaje kupata faida? mbona mm nachemka
kuna sehem nategemea kupata 6m sasa nilitaka kuweka kwenye broilers sasa mahesab mbona yanaleta lost
kwa kuku
mmoja
Wiki ya 1 15g*kuku 1000=15,000 sawa na kilo 15kwa siku na sawa kilo 105 kwa wiki na ni sawa na mifuko 2 ya chakula (2bags@50,000/ )
=100,000
Wiki ya 2 25g *kuku 1000=25,000 sawa na kilo 25kwa siku na sawa kilo 175 kwa wiki na ni sawa na mifuko 4ya chakula (4bags@50,000/ )
=200,000/
Wiki ya 3 35g *kuku 1000=35,000 sawa na kilo 35kwa siku na sawa kilo 245 kwa wiki na ni sawa na mifuko 5 ya chakula (5bags@50,000/ )
=250,000/-
Wiki ya 4 50g *kuku 1000=5000 sawa na kilo 50 kwa siku na sawa kilo 350 kwa wiki na ni sawa na mifuko 7ya chakula (7bags@50,000/ )
=350,000/-
Wiki ya 5 65g *kuku 1000=65,000 sawa na kilo 65kwa siku na sawa kilo 455 kwa wiki na ni sawa na mifuko 9 ya chakula (9bags@50,000/ )
=450,000/-
Wiki ya 6 85g
*kuku 1000=85,000 sawa na kilo 85kwa siku na sawa kilo 595 kwa wiki na ni sawa na mifuko 12ya chakula (12bags@50,000/ )
=600,000/-
Wiki ya 7 105g *kuku 1000=105.000 sawa na kilo 105kwa siku na sawa kilo 735 kwa wiki na ni sawa na mifuko 15 ya chakula (15bags@50,000/ )
=750,000/-
Wiki ya 8 120g *kuku 1000=120,000 sawa na kilo 120 kwa siku na sawa kilo 840 kwa wiki na ni sawa na mifuko 17 ya chakula (17bags@50,000/ )
=850,000/-
JUMLA YA GHARAMA YA CHAKULA NI 3,550,000 PLUS GHARAMA YA KIFARANGA KIMOJA 1500 sawa na 1,500,000/ inakuwa jumla 5.5m
sasa ukaja kuuza kwa 5000 si ni sawa na 5m bado sijaweka gharama za dawa ....mhudumu...transport cost tuseme inafika 6m sasa hapa ni biashara au hasara? je mnaofanya hii project nyie mnaifanyaje kupata faida? mbona mm nachemka