MAKANGEMBUZI
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 2,670
- 7,655
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpaka pale watanzania tutakapo jua kwamba jukumu la kusomesha mwanao ni la mzazi sio serikali, ndo akili zitakazo tuka sawa. Elimu ya bure ni siasa wewe ona watoto wanavo pata div1 shule za private na kujiunga serikalini advance kupata kuua ndoto zao kwa kupata div 4 au 0.Moja kwa moja kwnye mada.Nianze kwa kusema binafsi ni mdau mkubwa sana wa elimu hasa ya Tanzania hunidanganyi kitu kuhusu elimu ya bongo kwa shule za serikali maana nimesoma huko na pia nimejitolea shule mbili tatu ili kupoza makali ya ujobless.
Jobless SR.
Sahihi lakini tukirudi kiuhalisia serikali moja ya jukumu lake ni kuhahakisha raia wake wanapata elimh bora ila sema kwavile huko africa nobody care tunaenda tu kila mtu apambane kivyake.Mpaka pale watanzania tutakapo jua kwamba jukumu la kusomesha mwanao ni la mzazi sio serikali, ndo akili zitakazo tuka sawa. Elimu ya bure ni siasa wewe ona watoto wanavo pata div1 shule za private na kujiunga serikalini advance kupata kuua ndoto zao kwa kupata div 4 au 0.
Thread closedMpaka pale watanzania tutakapo jua kwamba jukumu la kusomesha mwanao ni la mzazi sio serikali, ndo akili zitakazo tuka sawa. Elimu ya bure ni siasa wewe ona watoto wanavo pata div1 shule za private na kujiunga serikalini advance kupata kuua ndoto zao kwa kupata div 4 au 0.
Covax keshafunga mjadala hapo juuSahihi lakini tukirudi kiuhalisia serikali moja ya jukumu lake ni kuhahakisha raia wake wanapata elimh bora ila sema kwavile huko africa nobody care tunaenda tu kila mtu apambane kivyake.
Acheni kulalamika sana nanyie wajinga mmekuwaje lakini watanganyika nyie !? Sasa serikali ulitaka impangie kwenda advance wakati mwanao ana D mbili na C mbili au hata combination hazija balance? Shukuru hata huko kupangiwa chuo maana angeachwa tu uombe mwenyewe kwa Tsh 10,000/=Moja kwa moja kwnye mada.Nianze kwa kusema binafsi ni mdau mkubwa sana wa elimu hasa ya Tanzania hunidanganyi kitu kuhusu elimu ya bongo kwa shule za serikali maana nimesoma huko na pia nimejitolea shule mbili tatu ili kupoza makali ya ujobless.
Nchii ngumu sana hii
Jobless SR.
Ujaelewa mada inasemajeeAcheni kulalamika sana nanyie wajinga mmekuwaje lakini watanganyika nyie !? Sasa serikali ulitaka impangie kwenda advance wakati mwanao ana D mbili na C mbili au hata combination hazija balance? Shukuru hata huko kupangiwa chuo maana angeachwa tu uombe mwenyewe kwa Tsh 10,000/=
Kwani kaandika kichina hapo? Kamanhutai kwenda chuo mnona hulazimishwi ? Unatuma maombi kwenye chuo kingine chap kwa harakaUjaelewa mada inasemajee