Mimi naomba Gado kama anasoma mtandao huu atuletee kikaragosi kile maarufu cha Muungwana akilambwa viatu naa wandishi wa habari hapa TZ na kile cha mlolongo wa mafisadi ambapo muungwana anazunguka na kufika mwisho anakuta waheshimiwa sana wakiwa ndio wako mwisho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.