Masijala, utakuwa mmbeba files, unahakikisha ya kuwa file lipo kwenye sehemu husika, utatakiwa kuwa na afya njema ikizingatiwa ya kuwa ofisi nyingi ni ghorofa...utapanda ngazi na kushuka mpaka.....File likiwa misplaced wewe ndiwe mchawi....utatafuta mpaka ulione..n.k