kwanza pole kwa matokeo hayo kwani naamini hukutaraji yawe hivyo...ila hapo sio mwisho kwani bado waweza soma chuo.
serikali inatoa mikopo kwa watu waliopata div 3 wanaosoma masomo ya science na ualimu pekee.
kila la kheri kwenye mchakato wako wa shule.
asante kwa ushauri wako,serikali inatoa mkopo kwa degree za sayansi na ualimu. Je Bsc in IT nitapata mkopo?