Hii DOGE ya Trump yule Shujaa Magufuli wa Tanzania aliiongoza Mwenyewe Kwa mfumo wa " Mahakama ya Mafisadi"

Hii DOGE ya Trump yule Shujaa Magufuli wa Tanzania aliiongoza Mwenyewe Kwa mfumo wa " Mahakama ya Mafisadi"

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Anachofanya Trump sasa hivi kuibua Ufisadi na kutumbua kilishafanywa na Shujaa Magufuli kwahiyo siyo Kitu kipya

Trump anatumiwa Department Of Government Efficiency na Shujaa Magufuli yeye alifanya kisheria Kabisa Kwa kutumia Mahakama ya Mafisadi

Ikumbukwe Trump aliwahi kumpongeza Shujaa Magufuli Kwa misimamo yake ya kisayansi kuhusu COVID 19

Ahsanteni sana 😄
 
Back
Top Bottom