Hii EAC ya sasa ipo siku watu watagawana Mbao

Hii EAC ya sasa ipo siku watu watagawana Mbao

SOVIET UNION

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2017
Posts
509
Reaction score
1,391
Hii jumuia ni ya ajabu sana kwa sababu moja ya sifa za Jumui ni kwa wanachama kuwa na umoja na upendo pia, ila sasa kwa EAC ni full kutafutana.

Uganda ana bifu na Kenya kuhusu Biashara, bado ana bifu na Rwanda ya mambo ya usalama. Pia Burundi na Rwanda sio kihivyo sana zina bifu ya hapa na pale.

Sasa hii ya sasa ya Rwanda na Congo ni funga kazi kabisa. Sasa unajiuliza huwa hawa jamaaa wanatumia vigezo vipi kuingiza nchi EAC?

Jumuia hii ipo siku watu watagawana mbao kama ile ya mwanzo kwa sababu imejaaa kuto kuaminiana.
 
Yaani sijui kwanini haka ka'Rwanda kanazingua hivyo....ila wanyarwanda wana aina fulani ya dharau na kujiona....
Watu wa ngara ni mashahidi.
 
Rwanda ana tamaa sana ndo maana mwalimu alikimbilia Zanzibar wakati Rwanda ni karibu zaidi kuliko Zanzibar
 
Back
Top Bottom