CHRISTURKER
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 267
- 55
Hebu soma sheria husika ndo utapata majibu murua!
Hebu soma sheria husika ndo utapata majibu murua!
Jamaa yangu kapigwa
fine hii jamani, hivi uchakavu wa seat cover nao ni kosa la barabarani
kweli? Trafic police huyu mie kama sijamwelewa hivi.Tujuzane tu ili na
wengine tutie maji, coz mwenzetu ndo kesha nyolewa hivyo. Na jamaa
alopigwa fine hii ni Mzungu
Tusaidie kuiweka hapa kama una access nayo. Nimejaribu ku-google in vain
Jaribu na kucheki By-Laws
Jaribu na kucheki By-Laws