[emoji86][emoji86][emoji86][emoji86]Hilo sio gari bari ni matawi ya mti yamekaa kama gari.mwisho wa kuwasilisha
My damned Demi am missing you so much!🤗🤗🤗Sio picha halisi, ni photoshop
Hii hutokea maeneo ya Tanga na Sumbwanga na Kigoodo Kigoma na Shinyanga hasa GamboshiNinawaza kipupwe, lakini huo upepo wa kupeperusha gari usivunje mti? Na kama ni kipupwe hali ya dereva humo ndani ikoje?
Naskia njaaMy damned Demi am missing you so much![emoji847][emoji847][emoji847]
kama siyo upepo wa kisulisuli basi ni wezi hao wanambinu nyingi sana
Nikutumie?
Itapendeza [emoji3]Nikutumie?
Na ya kutolea?Itapendeza [emoji3]
Pamoja na hilo hayo matawi ya huo mti hayajafikia kuwa na nguvu ya kulizuia lisiangukeNinawaza kipupwe, lakini huo upepo wa kupeperusha gari usivunje mti? Na kama ni kipupwe hali ya dereva humo ndani ikoje?