Hii habari kutoka HESLB ina ukweli?

Hii habari kutoka HESLB ina ukweli?

Kiboko.

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2013
Posts
2,891
Reaction score
1,214
News from heslb, wanafunzi wote wa vyuo vikuu vya tanzania fedha ya chakula na maladhi ya awam ya pili kwa masomo 2014/ itapitishwa mpaka mchakato wa maoni ya katiba kukamilika hapo tarehe 27,mwezi wa 5 samahanini kwa usumbufu wowote utakaojitokeza.kutoka kwa naibu kaimu wa baraza la mikopo tz ndg

John.Bayengele.

"nmetumiwa hyo msg vip inaukwel wowote?


sent from my iphone using jamiiforums.����
 
Ina ukweli ndugu,endeleeni kuishi kwa matumaini au kwa hisani ya watu wa Marekani.
 
Kweli iyo aisee, nipo hapa Heslb na huyo Jamaa! Ni vema mkauza laptop,smart phone na sabufa
 
teh teh teh teh .....serikali yenu sikivu itawasikia
 
Udsm wameanza kusaini na kwamba wanaosaini ni baadhi yao tu ambao majina yao tayari yalishapelekwa na wengine haijulikani ni lini watapatiwa fedha zao. Taarifa zilizopo ni kwamba kwa pale udsm wanaosaini fedha zao zipo, watapewa ila waliobaki ambao ndio wengi hakuna majina na kwa maana hiyo huenda hata fedha zao hakuna, ngoja tuendelee kusubiri.

Wanadai raisi wao mpya anachapa kazi sana hivyo huenda wakapewa hivi karibuni japo sina uhakika:israel:
 
Back
Top Bottom