joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Ukishaona raia wa kawaida anakubaliana na kitendo cha kila raia kujimilikisha silaha kinyume cha sheria, basi hiyo ni " confirmation of a failed state"Wapo sahihi. Serikali ni nani?
CCM hoyeeeeee, Failed state hoyeeeeeerUkiona mtu anamshangilia na kumhusudu binadamu mwenzake zaidi hata ya wazazi wake...basi huyo ujue ni ccm
Mkuu Jiwe kapata nafuu au bado yupo Ujerumani?CCM hoyeeeeee, Failed state hoyeeeeeer
Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
"Usipaniki" buku zako 7 mbona bado zipo Mkuu 😁Bado yuko Turkana,
CCM hoyeeeeee, Failed state hoyeeeeeer
Hahahaha, Hahahaha, Hahahaha.
Hoyeeee Failed state hoyeeeeee, daimaHoyeeeeeee!!!magu milele hoyeeeee
na kutetea CCM inabidi uwe na akili za mfu.Ukiona mtu anamshangilia na kumhusudu binadamu mwenzake zaidi hata ya wazazi wake...basi huyo ujue ni ccm
Kama ambavyo wakikuyu wanavyoiba na kuchukua Kazi zote na ardhi ya wakenya bila kuguswa.na kutetea CCM inabidi uwe na akili za mfu.
Mimi ni Chadema kama wewe, Hahahaha, Hahahaha.na kutetea CCM inabidi uwe na akili za mfu.
Mjinga mwingine wa kenyaUkiona mtu anamshangilia na kumhusudu binadamu mwenzake zaidi hata ya wazazi wake...basi huyo ujue ni ccm