Gemini Are Forever
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 1,508
- 2,619
Heri ya Eid Mubarak wanaJF!
Nipo hapa sina amani. Jioni hii nilitoka home nikaenda kitaa kuzunguka kidogo, wakati wa kurudi njiani nikakutana na baba yangu mdogo tukaja hadi home.
Kinachonikosesha amani ni kwamba huyo baba yangu mdogo alibeba mfuko wa mahitaji madogo madogo kutoka dukani ambapo tuliongozana wote akiwa anaubeba yeye.
Baada ya kufika nyumbani nikakumbuka kwamba kwanini sikumpokea ule mfuko?
Kisa cha pili kinachoniumiza kwa muda kila nikikikumbuka ni kwamba kuna siku (mwaka 2018) dereva alitupakiza kwenye piki piki (tupo wawili na dereva wa tatu) tukaja tukamkuta mother njiani tukampita; nyumbani kuna umbali wa kama dakika 10 kwa mguu.
Baada ya kufika home nikakumbuka kwanini sikushuka ili mama apande?
Kiukweli hii hali imekuwa ikinitokea kila mara ambapo inanikosesha amani. Hata nikisahau kidogo ila nikimwona huyo mtu najikuta nakosa amani na kujiona kwamba nimemkosea sana.
Nipo hapa sina amani. Jioni hii nilitoka home nikaenda kitaa kuzunguka kidogo, wakati wa kurudi njiani nikakutana na baba yangu mdogo tukaja hadi home.
Kinachonikosesha amani ni kwamba huyo baba yangu mdogo alibeba mfuko wa mahitaji madogo madogo kutoka dukani ambapo tuliongozana wote akiwa anaubeba yeye.
Baada ya kufika nyumbani nikakumbuka kwamba kwanini sikumpokea ule mfuko?
Kisa cha pili kinachoniumiza kwa muda kila nikikikumbuka ni kwamba kuna siku (mwaka 2018) dereva alitupakiza kwenye piki piki (tupo wawili na dereva wa tatu) tukaja tukamkuta mother njiani tukampita; nyumbani kuna umbali wa kama dakika 10 kwa mguu.
Baada ya kufika home nikakumbuka kwanini sikushuka ili mama apande?
Kiukweli hii hali imekuwa ikinitokea kila mara ambapo inanikosesha amani. Hata nikisahau kidogo ila nikimwona huyo mtu najikuta nakosa amani na kujiona kwamba nimemkosea sana.