Hii hapa App inayorusha mechi za Kombe la Dunia na Za Kibongo

Mboju

Member
Joined
May 4, 2021
Posts
78
Reaction score
178
Habari za mida hii wadau wote wa Jamii Forum hasa wapenda Mpira kama mimi.

Katika pita pita zangu nimekutana na App safi kabisa inarusha mechi zote za Kombe la Dunia pia na Mechi za Bongo kiukweli app Iko poa Ina Chanel nyingi hasa za super sport na Bein sport pia Azam sport 1

Unaweza kuipakua hapa [emoji117][emoji117]Jmpira TV - Apps on Google Play
 
Tupe mchanganuo wa garama as matumizi yake unapojiunga na kifurushi cha MB au GB maana unajua vita ya Ukraine na Russia kwenye uchumi.
 
Tupe mchanganuo wa garama as matumizi yake unapojiunga na kifurushi cha MB au GB maana unajua vita ya Ukraine na Russia kwenye uchumi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kwa upande wa bando aisee ni Hela yako tu
 
Kuna watu watapigwa au tayari wameshapigwa na kitu kizito...........
Be very careful with whatever you want to download online....
 
Hapa hakuna janja janja mi mbona sikupigwa
 
channels nyingi ili uweze kuona mpaka ulipe elfu tatu
 
KWA SS WATUMIZI WA PC VIP
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…