Makirita Amani
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 1,915
- 3,422
- Thread starter
-
- #41
Siyo kwamba ukipata madhara kwa chanjo basi serikali inakutelekeza."Kuondoa huo mkanganyiko na kuzuia wenye tamaa na nia mbaya wasitumie upenyo huo kukwamisha zoezi la chanjo, serikali inataka mtu aridhie na akubali kama akipata madhara hatailaumu au kuishitaki kwa hilo."
Sasa hapo mkuu vp ambao ikitokea kweli wakapata madhara yenye kusababishwa na hizo chanjo?
Na mtu kama wewe unataka tukae hapa tubishane kabisa kuhusu chanjo.Hv kichwa chako kina mafunyofunyo?
Kumbe unakuwaga na mda wakubishana na watu...hongera kwa hilo!!!Na mtu kama wewe unataka tukae hapa tubishane kabisa kuhusu chanjo.
Mkuu, vitu vingine uwe unaacha tu vipite kuliko kujidhalilisha.
You should do better than this.
Sawa ila hapo sasa watakaopata madhara kweli ya chanjo wamenyimwa haki ya kushitaki.Siyo kwamba ukipata madhara kwa chanjo basi serikali inakutelekeza.
Hapana, utasaidiwa kabisa na ndiyo maana hata ukishapata chanjo, unaendelea kufuatiliwa na unapewa namba za kuripoti pale unapopata changamoto.
Kinachozuiwa hapo ni watu wasitumie huu mwanya kujinufaisha kifedhaz uende ukafungue kesi ya kudai mabilioni ya fedha kwa kusema chanjo imekuletea madhara.
Mimi mwenyewe ni darasa la saba tu mkuu ndio maana nikaomba ujapo kwa uchache uelezee hilo suala kwa lugha ya darasa la 7 japo nami nipate chochote kitu maana hiyo lugha nyengine ni mtihani kwangu.Literature za yote hayo ziko wazi mkuu, kama unapenda kujisomea nakuwekea link hapa ujisomee.
Lengo la mimi kuandaa darasa hili fupi ni kueleza hilo kwa lugha ya darasa la tano, ili kila mmoja aelewe na kufanya maamuzi sahihi.
1. Pfizer and BioNTech Conclude Phase 3 Study of COVID-19 Vaccine Candidate, Meeting All Primary Efficacy Endpoints | pfpfizeruscom
2. Different COVID-19 Vaccines
Sichanji.Mkuu,
Tabia ya kuchagua kusikia kile tu unachotaka kusikia wewe, itakukosesha mengi mazuri kwenye maisha.
usiwe mgando (fixed) dunia inakwenda kasi, mambo yanabadilika.
Kuchanja wewe ni swala la muda tu, hivyo usishupaze sana shingo, utachanja.
"kinachoendelea ni kufuatilia ufanisi wake"
Rafiki yangu mpendwa je umeelewa ulichokiandika au umeandika tu kukamilisha mstari!!!"hakuna chanjo yenye ufanisi wa 100%."
Kwa uchache ni hayo niliyoeleza hapo juu, yanatosha kabisa mtu kufanya maamuzi sahihi kwenye hili.Mimi mwenyewe ni darasa la saba tu mkuu ndio maana nikaomba ujapo kwa uchache uelezee hilo suala kwa lugha ya darasa la 7 japo nami nipate chochote kitu maana hiyo lugha nyengine ni mtihani kwangu.
Kwa uchache tu.
Mimi ninafsi nimeshachanja, picha yangu nikichanja ipo kwenye huu uzi, angalia vizuri.
Mkuu, kama umefanikiwa kusoma darasa nililoweka hapa, hata baada ya bidhaa kuingia sokoni, lazima iendelee kufuatiliwa.Rafiki yangu mpendwa je umeelewa ulichokiandika au umeandika tu kukamilisha mstari!!!
Inakuaje watu wafuatilie jambo lisilo na ufanisi wa 100%, je wewe unaweza kufanya kazi unayolipwa mshahara wa kukidhi mlo tu, je ukiumwa utaomba msaada kwa ndugu?
hayo maswali yalishajibiwa, fatilia acha uvivu wa kiseng*Kwanini serikali iseme haiko answerable na consequences baada ya chajo?
Kwanini waliochanjwa wawe na same degree of exposure kama ambao hawajachanjwa?
Kwanini watu wahimizwe kuendelea kuvaa mabarakoa sijui na ku sanitize baada ya chanjo kama ambao hawajachanjwa?
Majibu hayaridhishihayo maswali yalishajibiwa, fatilia acha uvivu wa kiseng*
Sawa ila huko ndio sehemu muhimu maana ndipo ambapo palifanya hizi chanjo zionekane kama zinafaa.Kwa uchache ni hayo niliyoeleza hapo juu, yanatosha kabisa mtu kufanya maamuzi sahihi kwenye hili.
Karibu.