Hii hapa njia ya kutajirika haraka haraka

Totos Boss

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2012
Posts
5,456
Reaction score
1,567
Nimeweka hii topic niangalie jinsi wa Tz wanavyokurupuka wakisiki neno UTAJIRI si unaona umesoma fasta.
Pumbaaaaaaaaaaaf!!!!! hakuna utajiri wa haraka chapa kazi.
 
Hata ilikua sitaki kucheka lakini Wacha tu..kwi kwi kwi kwi...
 
Pumbaaaaaaaaaaaf!!!!! Mkuu mwenye mada, jukwaa uliloleta mada hii humu hatutukani!! kwa ushauri tu, nakwambia,,,JIIIIIIPAAANGEEEEEE!!!!!!!!!
 
Duh! Inaonekana kila cku unawaza kuwa tajiri ndo unaenda kinyumenyume kha kha kha kha kha kha kha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…