NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Asante mkuu NALIA NGWENA kwa ratiba hii. Ngoja tuanze kuweka mikeka mapemaaa!NBCPL: Hii hapa ratiba ya NBC Premier League mechi za mzunguko wa kwanza ambazo zitaanza kutimua vumbi Agosti 15, 2023.
View attachment 2711136
Hapo uhakika Simba, yanga na Azam muda wetu wakulipuka mkuuAsante mkuu NALIA NGWENA kwa ratiba hii. Ngoja tuanze kuweka mikeka mapemaaa!
Kwa sababu ligi inaanza kutumia vumbiIla ni kwanini Yanga anachelewa sana kuanza ligi?
Anaanza mashindano ya kimataifa ngazi ya chekecheaIla ni kwanini Yanga anachelewa sana kuanza ligi?
Kilio chao wataanza kukosa kombe huko Tanga, mpaka sasa ukiwaambia wana timu mbovu hawaamini.Mtibwa Sugar FC tarehe 17 mmkaze vizuri huyo dunduka SC asifunguke...
Comment Bora [emoji1787][emoji16]Bora kiumane tumechoka maneneo
Watachezea kichapo kutoka kwa Singida hawatoaminiKilio chao wataanza kukosa kombe huko Tanga, mpaka sasa ukiwaambia wana timu mbovu hawaamini.
KumbeViwanja vya siku hizi vinanyasi kwahiyo hakutakuwa na kutimua vumbi. Kutimua vumbi ni msemo wa kizamani wakati viwanja vilikuwa vya mchanga.
Weka akiba, tunamtaka YangaWatachezea kichapo kutoka kwa Singida hawatoamini
Weka akiba, tunamtaka Yanga
[emoji28][emoji28][emoji28]Mtibwa Sugar FC tarehe 17 mmkaze vizuri huyo dunduka SC asifunguke...